WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 20/03/2015.
[Mikoa ya Morogoro (Kaskazini),
Mtwara na Lindi]:
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam na Pwani
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi
vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Kagera na Geita]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Morogoro (Kusini)]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza, Shinyanga
na Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
VIPINDI
VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA TANGA,
DAR -ES
-SALAAM, PWANI, MOROGORO, LINDI, MTWARA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
29°C
|
18°C
|
12:39
|
12:44
|
D'SALAAM
|
32°C
|
23°C
|
12:28
|
12:33
|
DODOMA
|
29°C
|
20°C
|
12:42
|
12:47
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:06
|
01:11
|
MBEYA
|
24°C
|
15°C
|
12:51
|
12:56
|
MWANZA
|
30°C
|
20°C
|
12:53
|
12:58
|
TABORA
|
31°C
|
15°C
|
12:54
|
12:59
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:29
|
12:34
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
23°C
|
12:28
|
12:33
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini Kwa Pwani
ya Kaskazini na kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
22/03/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 20/03/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.